Uhusiano wetu katika nyumba zetu unapoimarika na kuendelea kumuomba Yesu Kristo, Mungu ataendelea kuzibariki familia zetu. Atambariki baba, mama na watoto wote katika familia. Kama tusiposameheana katika nyumba zetu, hakika wananda pia hawatasemehewa katika toba yoyote watakayoomba kwa Yesu Kristo.
Miujiza ya ndoa itatokea mara baada ya kila mwanandoa kujisalimisha kwa Yesu
Post a Comment